36 Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.

37 Wote walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu.

38 Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi, wakamsindikiza hadi melini.