31 Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula."
32 Lakini Yesu akawaambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi."
33 Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"
34 Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.