33 Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini kote.
34 Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eloi, Eloi, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"
33 Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini kote.
34 Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eloi, Eloi, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"