A Última Palavra vem do Senhor

14 Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.

15 Mngalipaswa kusema: "Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile."

35 Naam, mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

17 Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake.