1 Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana ninyi ni watoto wake wapenzi.
6 Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
1 Niigeni mimi kama ninavyomwiga Kristo.
24 Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."