Mãe

4 Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.

5 Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,

6 hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.

7 Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.

2 "Waheshimu Baba na mama yako," hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

3 "Upate fanaka na miaka mingi duniani."

Versículos sobre Mãe - Bíblia Online - SWA